Muungano wa Afrika Wafichua Sera ya Chuki dhidi ya Raia Wageni ya Serikali ya Denmark
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Katika wiki za hivi karibuni, serikali ya Denmark imekabiliwa na upinzani wa kisiasa na kukashifiwa kitaifa na kimataifa kwa mipango yake ya kuwahamisha wakimbizi hadi vituo vya hifadhi nchini Rwanda.



