Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 352
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Vichwa Vikuu vya Toleo 352
Vichwa Vikuu vya Toleo 352
Kuokoa adhabu isiyo ya haki kwa kuulingania Uislamu pamoja na Hizb ut Tahrir, Hafizov Asgat aliongezewa miaka mengine 10 gerezani hadi kufikia miaka 19.
Haki za Waislamu hazirejeshwi kupitia unyenyekevu, ulegezaji msimamo, diplomasia na mapatano.
Mnamo Alhamisi, 22 Julai 2021 Waziri wa Kigeni wa Israel Yair Lapid alitangaza kwamba Israel imejiunga na Muungano wa Afrika (AU) kama dola mtazamaji.