Kusoma Suratul Faatiha Katika Swala ya Jamaa na Kuchanganyika (Wanawake na Wanaume) Katika Ziyara za Kifamilia
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kifiqh
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Ama swali la kwanza: ni ipi hukmu ya kusoma Al-Faatiha katika swala kwa maamuma? Na je kumkuta Imam kwenye rukuu au akiwa karibu na kurukuu kwa hali ambayo maamuma hatoweza kusoma Al-Faatiha nzima, je itahesabika kapata rakaa?