Janga la Mafuriko Laulemea Uongozi Tepetevu wa Pakistan
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mafuriko ya hivi karibuni nchini Pakistan sio tu yamesababisha uharibifu lakini ukubwa wa maafa umepita mafuriko ya awali ya 2010 na tetemeko la ardhi mwaka 2004. Zaidi ya theluthi moja ya nchi iko chini ya maji na zaidi ya watu milioni 33 wamekimbia makaazi yao.