Gazeti la Al-Raya: Vichwa Vikuu vya Toleo 276
- Imepeperushwa katika Al-Rayah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Vichwa Vikuu vya Toleo 276
Vichwa Vikuu vya Toleo 276
Vichwa Vikuu vya Toleo 275
Vichwa Vikuu vya Toleo 274
Vichwa Vikuu vya Toleo 273
Mashtaka ya Trump yameigawanya Amerika. Baadhi wamesema kwamba katiba ya Amerika imepasuliwa, na katika ishara za kuonesha upinzani, na saa kadhaa baada ya Seneti kumuacha huru Trump, msemaji wa Bunge la Wawakilishi, Nancy Pelosi, alitoa ishara ya kushangaza kwa umma moja kwa moja kupitia runinga.
Vichwa Vikuu vya Toleo 272
Rais wa Afghanistan, Ashraf Ghani, amesema katika jukwaa la kiulimwengu la kiuchumi lililofanyoka Davos, kwamba serikali ya Afghan haitapata matatizo baada ya vikosi vya kigeni kujiondoa kutoka nchini humo; hata hivyo, kama mazungumzo yataendelea na Taliban badala ya serikali yake, vita vitachukua awamu nyingine.
Vichwa Vikuu vya Toleo 271
Vichwa Vikuu vya Toleo 270
Vichwa Vikuu vya Toleo 269