Wilayah Syria: Maandamano katika Kijiji cha Babika "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu"
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wilayah Syria: Maandamano katika Kijiji cha Babika "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu"
Wilayah Syria: Maandamano katika Kijiji cha Babika "Tunakuitikia Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu"
Katika wakati ambao Waislamu wa Pakistan wanauelekea Uislamu kama njia ya maisha, na kwa ajili ya kunyanyua kiwango cha utambuzi wa jambo la nidhamu ya Khilafah, Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan imezindua kampeni pana kwenye mitandao ya kijamii kwa anwani:
Halaiki ya watu wa kijiji cha Tel Karama viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).
Uthibitisho kwa ulimwengu kwamba usawazishaji mahusiano ni usawazishaji wa watawala na sio usawazishaji wa watu, na kukataa watawala wa Ruwaibidha,
Hizb ut-Tahrir / Wilayah ya Jordan inaomboleza kwa Umma jumla wa Kiislamu, Ndugu Jihad Abdulqadeem Zalloum, mmoja wa mashababu wa Hizb ut-Tahrir, na mtoto wa Amiri wetu na Sheikh aliyetangulia,
Halaiki ya watu wa mji wa Sahara viungani mwa Aleppo ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) na kulaani mabomu ya muungano wa makruseda.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan iliandaa kampeni ya hotuba ya hadhara na maandamano yanayolingania kusimamisha Khilafah kwa njia ya Utume, ambayo itazuia kumkashifu mara kwa mara Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).
Hizb ut tahrir / Indonesia iliandaa matukio mengi ya umma kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw)
Halaiki ya watu wa mji wa Armanaz viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).
Halaiki ya watu wa mji wa Tel Karameh viungani mwa Idlib ilijitokeza katika maandamano ya kumnusuru Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).