Jibu la Swali la Amiri: Dua kwa ajili ya Kuangamizwa Umbile la Kiyahudi
- Imepeperushwa katika Maswali ya Kimfumo
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Dua huku ukichukua njia zinazohitajika, ina athari katika matokeo, na hivi ndivyo alivyofanya Mtume (saw) na walivyofanya maswahaba zake. Mtume (saw) alilitayarisha jeshi na akaingia kwenye hema kuomba dua.