Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maoni ya Habari 07/08/2024
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Mnamo siku ya Ijumaa, Agosti 2, 2024, Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan iliandaa maandamano katika mji wa Al-Qadarif baada swala ya Juma’a karibu na Jami’ Al-Atiq (Msikiti Mkongwe) katika Soko la Al-Qadarif. Maandamano hayo yalitaka kukomeshwa kwa vita na umwagaji damu ya Waislamu.
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki iliandaa, baada ya swala ya Ijumaa, visimamo katika mji wa Ankara Na mji wa Van chini ya kichwa. “Khiyana ya Watawala Yaiuwa Gaza!”
Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yaandaa Tufani ya Twitter kwa kichwa: “Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!” ili kuwanusuru wabebaji ulinganizi wenye ikhlasi wanaonyanyaswa na utawala dhalimu wa Uzbekistan.
Maoni ya habari ya Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan.
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili (mauaji ya halaiki) ambayo yamekuwa yakiendelea kwa muda wa miezi saba, yanayofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa Waislamu zaidi ya elfu 130, wanaume na wanawake hadi sasa, Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki inaandaa amali kubwa za halaiki kote nchini Uturuki kuwataka Waislamu waungane chini ya bendera ya Khalifa mmoja ambaye atakusanya mara moja majeshi ya kuwanusuru Waislamu wanaodhulumiwa katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).
Matembezi ya 41 mfululizo tangu kuanza kwa Vita vya Kingunga cha Al-Aqsa yalifanyika mbele ya Msikiti wa Al-Fatah katika mji mkuu Tunis, ambayo yaliitishwa na Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia, watu wa Zaytouna na kichwa chake kilikuwa “Njia ya kuikomboa wa Palestina... maandamano ya Umma na kupinduliwa kwa Mafirauni wa zama hizi!”
Ushiriki wa Hizb ut Tahrir/Austria katika amali za kampeni ya kilimwengu iliyozinduliwa na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yenye kichwa “Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!”
Licha ya mateso tunayoyapata kutokana na yale yanayowapata ndugu zetu wa Gaza na madhehebu ya Mayahudi ambao wamekuwa wabaya kwa muda mrefu, dhalimu wa Uzbekistan anajitokeza dhidi yetu kwa kuwakamata mashababu wa Hizb ut Tahrir na kuwatishia kwa vitendo vya ukandamizaji ni yale yale waliyoshtakiwa kwayo na Karimov aliyekufa, na ambayo walifungwa kwa karibu miaka ishirini, mashtaka ya kubuni ambayo hayana ushahidi.
Ushiriki wa Hizb ut Tahrir/Uswidi katika amali za kampeni ya kilimwengu iliyozinduliwa na Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir yenye kichwa “Enyi Umma; Kilio Wanacholia Wafungwa wa Dhamiri nchini Uzbekistan!”