Hizb ut Tahrir / Denmark: Maandamamo Mbele ya Bunge la Denmark Kutetea Hijab na Kuunusuru Uislamu!
- Imepeperushwa katika Denmark
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa maandamano mbele ya Bunge la Denmark
Hizb ut Tahrir / Denmark iliandaa maandamano mbele ya Bunge la Denmark
Muendelezo wa amali za umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo tofauti ya nchi ili kupata maoni ya umma kuhusu hukmu za Uislamu (Ahkaam Shariah) na masuluhisho yake yanayohusiana na mifumo tofauti tofauti ya maisha,
Hotuba ya Ustadh Islam Abu Khalil, Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir nchini Uzbekistan, katika salamu za rambirambi za shahidi - kwa idhini ya Mwenyezi Mungu - Sabrjan Abdul Hamidov Shams Al-Dinwich kutoka Uzbekistan,
Licha ya kufungwa kwa barabara na madaraja, na kupelekwa kwa askari wengi katika mji mkuu, Khartoum, na maelezo ya kina, muamala thabiti, na mtazamo wenye taarifa ya matukio,
Shukrani kwa Mwenyezi Mungu na fadhila zake, Waislamu wa Gaziantep walikusanyika katika uwanja huo, wakiitikia wito wa Hizb ut Tahrir,
Sera za Uzayuni na Hindutva zinazoendeshwa na chuki dhidi ya Umma wa Kiislamu zinaendelea bila kusitishwa huku wale wanaojiita walinda amani wa dunia wakiwa ni washirika wao wa kimya kimya.
Katika muendelezo wa amali za hadhara zilizoandaliwa na Hizb ut Tahrir/Wilayah Sudan katika maeneo tofauti tofauti ya nchi, ili kuuamsha Umma wa Kiislamu kupitia kuunda rai jumla inayofahamu masuluhisho ya Uislamu, yanayoshughulikia mpango wa mfumo wa pande tatu wa mazungumzo ya kutatua mgogoro wa utawala nchini, migomo ya wafanyakazi na masuala mengine.
Ewe Mwenyezi Mungu turudishie ngao yetu, Khilafah Rashida kwa Njia ya Utume… Ewe Mwenyezi Mungu, Amin.
Mnamo siku ya Ijumaa, 11 Mei 2012, Naveed Butt alitekwa nyara na maafisa wa kijasusi wa dola ya Pakistan, alipokuwa akiwachukua watoto wake wadogo shuleni.