Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Mwacheni Huru Naveed Butt

Tia Saini Rufaa

https://www.change.org/p/free-naveed-butt-603fc16b-15ab-454d-b09c-53a8b5afa89c?redirect=false

Mnamo siku ya Ijumaa, 11 Mei 2012, Naveed Butt alitekwa nyara na maafisa wa kijasusi wa dola ya Pakistan, alipokuwa akiwachukua watoto wake wadogo shuleni.

Kama Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir nchini Pakistan, Naveed Butt alifanya harakati za amani za kisiasa, akitetea Khilafah.

Naveed anaamini kwa dhati kwamba maendeleo ya Pakistan yananyimwa kutokana na utiifu wake kwa Amerika na utabikishaji wa mfumo wa kikafiri wa Demokrasia nchini Pakistan.

Kwa hakika, Naveed Butt alitekwa nyara baada ya kuwakosoa vikali watawala wa Pakistan kwa kumwachilia jasusi wa Kimarekani Raymond Davis na kushindwa kuilinda Pakistan dhidi ya shambulizi la Marekani dhidi ya Abottabad.

Naveed Butt kitaaluma ni mhandisi wa umeme na baba wa watoto watatu wa kiume na binti mmoja, ambao wanasubiri kwa hamu kurudi kwake.

Tunalaani utawala wa Pakistan kwa kumtendea ukatili Naveed Butt na tunataka aachiliwe mara moja na aregeshwe salama kwa familia yake.

#FreeNaveedButt

Bonyeza Hapa Kwenda kwa Ukurasa wa Kampeni

 

 

 

 

 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu