Hizb ut Tahrir/ Malaysia: Wito kwa Majeshi ya Waislamu na Wanazuoni wa Waislamu!
- Imepeperushwa katika Malaysia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa kuzingatia mauaji ya kikatili yaliyofanywa na umbile halifu la Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yalisababisha kuuawa shahidi na kujeruhiwa kwa wanaume na wanawake wa Kiislamu zaidi ya 30,000.