Mashirika ya Misaada ya Kibinadamu Hatimaye Yalazimika Kujifinika Barakoa Zao Mbele ya Wanawake na Wasichana wa Kiislamu wa Afghanistan
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Afisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masuala ya kibinadamu (OCHA) mnamo siku ya Alhamisi, tarehe 10 Januari 2022, iliibua wasiwasi kuhusu hali ya wanawake na wasichana nchini Afghanistan