Ujumbe kutoka kwa Kaka na Dada Zetu Nchini Sri Lanka
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ujumbe kutoka kwa Kaka na Dada Zetu Nchini Sri Lanka
Ujumbe kutoka kwa Kaka na Dada Zetu Nchini Sri Lanka
Ujumbe wa Afghan kwa Umoja wa Mataifa (UN) umeunda “Kundi la Marafiki,” linalosimamiwa na Uingereza na kujumuisha wawakilishi wa wanawake kwa UN na maafisa wakuu wa UN.
Maana ya uharibifu katika makala hii ni fujo na machafuko yanayo athiri mamilioni ya familia kutoka Magharibi kuelekea Mashariki na limekuwa janga la kibinadamu ambalo limesababishwa pakubwa na msukumo wa harakati za kuwawezesha wanawake.
Serikali za Kimagharibi zimejaribu kuzindua miradi kadha wa kadha ili kuzuia wimbi la kuvunjika kwa familia ndani ya mujtamaa zao.
Uendaji mbio, uchangamfu, uchukuliaji mambo kwa udharura na upangaji mipango na ufuatiliaji katika kufanya da’wah tuliouona katika maisha ya Mtume (saw) ilikuwa sio eti ana “dhibiti wa wakati”.
Nguvu na utulivu wa familia ya Waislamu wakati mmoja iliwahi kuwa sifa ya kipekee ya Ummah huu wa Kiislamu.
Mapinduzi ya kiviwanda 4.0 yalitangazwa kama ajenda ya kiulimwengu katika Kongamano la Kiuchumi la Kiulimwengu la mwaka 2016, yaliwasili kama mafuriko makubwa katika biladi nyingi za Waislamu.
Ili kuunda Nidhamu ya Elimu ya Daraja ya Juu Kabisa ya aina hiyo yahitaji nidhamu ya kisiasa ya daraja ya juu kabisa – nidhamu inayo kumbatia ruwaza ya kisiasa ya kipekee, ya hali juu na huru kwa dola yake na kwa ulimwengu, iliyo jengwa kwa msingi wa ayah hiyo ya juu – kuwatoa watu kutoka katika giza la ujinga wa ukafiri na kuwapelekea katika nuru ya Uislamu na uadilifu na mafanikio unayoleta kwa wanadamu katika kila nyanja ya maisha – kiroho, kiakili, kiakhlaqi, kisiasa, kiuchumi, na katika sayansi na teknolojia.
Uislamu hutazama utafutaji elimu ya Kiislamu kuwa faradhi kwa wanawake na wanaume.