Kukamatwa kwa Wabebaji Da’wah kutoka kwa Mashababu wa Hizb ut Tahrir na Mamlaka za Houthi ni Jinai ambayo kwayo watahesabiwa mbele ya Al-Aziz Al-Jabbar
- Imepeperushwa katika Yemen
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mnamo Alhamisi, Oktoba 23, 2022, mamlaka za Houthi nchini Morocco zilimkamata Ustadh Muhammad Musaad Al-Warafi (miaka 57), mmoja wa Mashababu wa Hizb ut Tahrir kutoka Msikiti wa Al-Hikma katika Jimbo la Ibb, baada ya kutoa hotuba ambayo kwayo ilifafanua Rasimu ya Katiba ya Dola ya Khilafah ambayo Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw) alitoa bishara yake njema pale aliposema