Imepita Mwaka Mmoja Tangu Mauaji ya Halaiki mjini Gaza Yaanze! Umma wa Kiislamu na Majeshi Yake Lazima Usimamisha Tena Khilafah Rashida na Kuikomboa Palestina
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Enyi Maafisa wa Jeshi la Pakistan! Mumeshuhudia kupuuza kwa watawala na makamanda wa kijeshi wa Waislamu kwa mwaka mmoja sasa. Uislamu haukubali fikra kwamba adui akiishambulia Islamabad, munajibu kwa nguvu, lakini adui akiishambulia Al-Masjid Al-Aqsa, si jukumu lenu kujibu. Uislamu haukubali fikra kwamba adui akiikalia kimabavu Lahore, mutamfukuza adui kwa gharama yoyote ile, lakini adui akiikalia kimabavu Al-Quds, si jukumu lenu kumfukuza. Uislamu haukubali kwamba munawajibika kuilinda ardhi ya Pakistan, lakini sio kuilinda Ardhi Iliyobarikiwa ya Palestina.