Je Chanjo za Virusi vya Korona ndio Suluhisho la Janga hili?
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Pakistani ndio nchi ya hivi karibuni zaidi kutangaza chanjo dhidi ya virusi vya Korona.
Pakistani ndio nchi ya hivi karibuni zaidi kutangaza chanjo dhidi ya virusi vya Korona.
Kama sehemu ya hatua za kuzuia dhidi ya kuenea kwa magonjwa ya kuambukiza, misikiti ya nchi hiyo itabaki imefungwa hadi tarehe 1 Januari 2021, iliripoti Turkmenportal kwa mujibu wa Muftiate wa Turkmenistan.
Kiongozi mmoja wa mshtaka aliomba kifungo cha miaka 52.5 kwa jumla kwa wazungumzaji 4 wa kongamano moja ambalo lilikuwa limepangwa kufanyika mnamo 2017 lakini likazuiwa pasi na sababu msingi.
Mnamo 2 Disemba 2020, ilitangazwa kuwa serikali ya Afghanistan na Taliban wamekubaliana juu ya sheria za mazungumzo.
Sehemu za amali zilizoandaliwa na Hizb ut-Tahrir kote ulimwenguni kumnusuru na kumuunga mkono Mtume wa Mwenyezi Mungu (saw).
Hizb ut Tahrir / Denmark ilifanya Kongamano la kila mwaka kwa mwaka huu 1442 H - 2020 M
Vita vya dunia vimetengeneza maafa makubwa kwenye mfumo wa Kibepari; himaya zimevunjika na idadi ya dola za kitaifa imeongezeka kwa kasi.
Mradi wa kiulimwengu wa kusimamisha tena Khilafah (Ukhalifa) kuregesha maisha kamili ya Kiisilamu imekuwa ndio lengo la Hizb ut Tahrir tangu 1953.
Gazeti la The New York Times la Amerika lilifichua kuwa mipango inafanywa katika Ikulu ya White House ya kutiwa saini kwa makubaliano ya amani kati ya Sudan na umbile la Kiyahudi mnamo Disemba hii,
Badala ya Kutoa tu Mkusanyiko wa Ushahidi juu ya Ugaidi wa India, Hamasisha Jeshi letu kwa Ukombozi wa Kashmir