Jumamosi, 21 Muharram 1446 | 2024/07/27
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon Kikao “Waliohamishwa Ni Ndugu Zetu”

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kikao kikubwa katika mji wa Tripoli Ash-Sham, kuanzia Msikiti Mkuu wa Al-Mansouri. Hii ilikuwa ni kueleza mshikamano wao pamoja na waliohamishwa na wakimbizi kutoka Syria, ambao walikimbia ukandamizaji wa utawala wa mhalifu Assad na kutafuta hifadhi kwa ndugu zao nchini Lebanon kutafuta usalama na makaazi hadi wapate fursa ya kuregea kwa heshima na usalama katika nchi yao ambako walilelewa na kukulia.

Soma zaidi...

Faili ya "Kutekwa nyara na Kutoweka" ni Sanduku Jeusi Linalofichua Kiwango cha Uhalifu wa Uongozi wa Shirika la HTS

Mnamo tarehe 14/5/2024, kikao kilichofanywa na kundi la familia na jamaa za watu waliotekwa nyara katika magereza ya usalama ya Hay’at Tahrir al-Sham (HTS) kilitawanywa kwa njia ya kijambazi na ladha ya Assad. Kikao hicho kilikuja baada ya uahirishaji mambo mengi na shirika la HTS kuhusiana na hasa suala hili.

Soma zaidi...

Gaza ina Vifusi Vingi kuliko Ukraine, na Dada zetu na Watoto Wetu ndio Wengi wa Wafu Wanaozikwa Chini Yake

Shirika la Wanawake la UN lilitoa ripoti mnamo mwezi Aprili 2024, kuhusu hali ya wanawake na watoto mjini Gaza. Miezi sita ya vita hivyo, zaidi ya wanawake 10,000 wameuawa, kati yao kina mama wanaokadiriwa kufikia 6,000, na kuacha watoto 19,000 wakiwa yatima.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu