Hizb ut Tahrir / Wilayah Tunisia: Amali za Kuwanusuru Watu wa Palestina na Al-Aqsa iliyo Mateka!
- Imepeperushwa katika Tunisia
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Tunisia iliandaa msururu wa amali za kuyataka majeshi ya Waislamu kutaharaki kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) na kuukomboa Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na Palestina yote inayokaliwa kimabavu kuanzia mto wake hadi bahari yake kutokana na makucha ya Mayahudi wanyakuzi katili.