Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kisimamo cha Usiku “Maamuzi ya Kijeshi Lazima Yaregeshwe na Mipaka Ifunguliwe”
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kalima iliyotolewa na Ustadh Mahrous Hazbar, Mjumbe wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria wakati wa kisimamo cha usiku kilichoandaliwa na Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Syria katika mji wa Azaz kikitaka kuregeshwa kwa maamuzi ya kijeshi na kufunguliwa kwa mipaka.