Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Hakika Makafiri wa Dunia Wamekusanyika dhidi yYetu!
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Hakika Makafiri wa Dunia Wamekusanyika dhidi yYetu!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki: Hakika Makafiri wa Dunia Wamekusanyika dhidi yYetu!
Moto wa vita umeangaza anga, na jambo hilo liko wazi mithili ya usiku na mchana. Kuwanusuru Waislamu wa Gaza na Palestina hakutatokea, bila ya zana za kivita za majeshi ya Waislamu. Majeshi yetu ndiyo yalio na uwezo huu. Basi ni nini sababu, enyi Waislamu, kwamba tusikutane na maafisa wa kijeshi tunaowajua kibinafsi, na kujadiliana na kila afisa mmoja mmoja? Kwa nini tusiwatembelee ndugu wa maafisa hawa na kuwahimiza wachukue hatua za haraka? Ummah lazima uyatake majeshi yake yaondoe kila ukuta, na kushinda kila kizuizi, kinachosimama kati yao, na uharibifu wa uvamizi wa Mayahudi.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Ijapokuwa Ulimwengu wa Kiislamu Unatawaliwa na Mfumo wa Kikoloni!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Maafisa Hawa wa Kijeshi Hawaishi ndani kabisa ya Misitu yenye Giza!
Kalima ya kutaka kupinduliwa kwa viongozi wa vikundi, kuregeshwa kwa maamuzi ya kijeshi, na kufunguliwa kwa mipaka.
Pendekezo la hivi majuzi la Mswada wa Sheria ya Mufti 2024 (Maeneo ya Shirikisho) limezua mjadala mkali kote nchini Malaysia. Tangu kusomwa kwake kwa mara ya kwanza mwezi Julai, Mswada huo umesonga mbele, ukikaribia kusomwa mara ya pili na ya tatu kabla ya kuidhinishwa kamili na bunge. Mwanzo wa Mswada huu unatokana na mjadala unaoendelea kuhusu Ilm al-Kalam (Usomi wa Kiislamu), ambao umeongezeka hivi karibuni nchini Malaysia.