Ijumaa, 17 Shawwal 1445 | 2024/04/26
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Wilayah ya Lebanon: Kisimamo Mbele ya Ubalozi wa Misri "Al-Aqsa Yalilia Wanajeshi!"

Chini ya mazingira ya kupiga kambi kwa Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa, na kuzingirwa kwake na taharuki ambayo imekuwa ikiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut -Tahrir / Wilayah Lebanon iliandaa kisimamo mbele ya ubalozi wa Misri jijini Beirut kwa anwani: "Al-Aqsa Yalilia Majeshi!"

Soma zaidi...

Uingereza: Visimamo Viwili vya Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa!

Chini ya mazingira ya kambi juu ya Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti wa Al-Aqsa uliobarikiwa na kuzingirwa kwake na makombora ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut-Tahrir / Uingereza iliandaa visimamo viwili jijini London na Birmingham vya kuwanusuru Waislamu katika Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina).

Soma zaidi...

Denmark: Maandamano Mbele ya Ubalozi wa Misri ya Kuunusuru Msikiti wa Al-Aqsa Uliobarikiwa!

Chini ya mazingira ya kambi kwenye Ardhi iliyobarikiwa (Palestina) kutokana na mashambulizi endelevu ya umbile la Kiyahudi dhidi ya Msikiti uliobarikiwa wa Al-Aqsa na kuzingirwa kwake na makombora ambayo yamekuwa yakiendelea kwa miaka 15 kwenye Ukanda wa Gaza, Hizb ut- Tahrir / Denmark iliandaa maandamano mbele ya ubalozi wa Misri jijini Copenhagen kwa anwani:  

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu