Wilayah Syria: Maandamano ya Wanawake ya Idlib "Inusuruni Daraa"
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kitengo cha Wanawake cha Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria kiliandaa maandamano katika mji wa Idlib kwa anwani "Inusuruni Daraa!"
Kila msimu wa uchaguzi nchini Kenya huleta miungano mipya ya kisiasa. Huku uchaguzi ujao ukikaribia, tabaka hilo la wanasiasa linajishughulisha na kuunda miungano mipya huku hatamu ya Uhuru Kenyatta ikifikia mwisho.
Mnamo tarehe 31/07/2021, tovuti ya KUN.UZ ilichapisha habari: Wanajeshi wa Wilaya ya Kati ya Kijeshi ya Jeshi la Urusi walifika Uzbekistan kushiriki mazoezi ya pamoja katika ya Uzbek na Urusi katika uwanja wa mafunzo wa Termez huko Surkhan Darya.
Sisi katika Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir / Wilayah ya Uturuki tunawapongeza kwa dhati Waislamu katika nchi zote za Waislamu, na ndugu na dada zetu Waislamu nchini Uturuki haswa, kwa mnasaba wa Idd al-Adha Al-Mubarak, na tunamshukuru Mwenyezi Mungu (swt) ambaye ametufanya tuishuhudia Idd hii.