Hizb ut-Tahrir Kenya Yafaulu Kutamatisha Kampeni Yake ya Kiuchumi Chini ya Kauli Mbiu - Msoto wa Kiuchumi Uislamu ndio Jibu.
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Kwa rehema za Mwenyezi Mungu SWT, Harakati ya Hizb ut-Tahrir Kenya imetamatisha kampeni yake ya kiuchumi ilioanza tarehe 11 Julai 2021, na kutamatika tarehe 11 Agosti 2021.