Kujiuzulu kwa Spika wa Bunge la Tanzania ni Dhihirisho la Ubatili na Kushindwa kwa Demokrasia
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai mnamo tarehe 06/01/2022 alijiuzulu nafasi yake hiyo kufuatia ukosoaji wake wa karibuni wa wazi kwa Raisi kuhusu mikopo na ukuaji wa deni la taifa.