Uzbekistan Yaanzisha Mashtaka ya Jinai kwa Kufundisha Uislamu kwa Watoto
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Bunge la Seneti la Uzbekistan limeidhinisha sheria inayotoa adhabu ya uhalifu kwa kufundisha watoto dini bila kibali na elimu ifaayo. Vitendo kama hivyo sasa vinaweza kuadhibiwa kwa kifungo cha hadi miaka mitatu gerezani.