Wilayah Sudan: Ripoti ya Habari 13/10/2021
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Amali za umma zinazofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan ziliendelea katika majimbo anuwai ya nchi ili kuunda rai jumla yenye utambuzi kuhusu vifungu vya Uislamu na masuluhisho yake yanayohusiana na nidhamu tofauti tofauti za maisha.