Wilayah Syria: Kisimamo cha Deir Hassan "Waacheni Huru Watu wa Hima Ili Umma Uhuike!"
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Mwendelezo wa amali umma zilizofanywa na Hizb ut Tahrir / Wilaya ya Sudan katika maeneo mbalimbali ya nchi ili kuunda rai jumla yenye utambuzi kuhusu vifungu vya Uislamu na masuluhisho yake yanazohusiana na nidhamu anuwai za maisha,
Rufaa kutoka mashababu wa Hizb ut Tahrir katika eneo la A'zaz kupinga uhalifu wa kukamatwa kwa wabebaji ulinganizi katika mji wa Idlib mikononi mwa kundi la Hay’at Tahrir Al-Sham.
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria katika mji wa Al-Atareb viungani mwa Halfa iliandaa kisimamo baada ya swala ya Ijumaa kwa anwani: "Kwa Watu Wetu wa Daraa; Silaha Yenu ni Heshima Yenu Basi Jihadharini na Kuisalimisha!"
Zaidi ya miaka tisa imepita tangu serikali nchini Pakistan imteke nyara mhandisi Naveed Butt, msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Pakistan, na tangu alipotekwa nyara haijulikani alipo!
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria iliandaa kisimamo katika kambi za Atma Magharibi mkabala na kijiji cha Ataa kwa anwani: "Hakika Limekwisha Semwa na Watu Wetu Huko Hauran;Tutazisalimisha Roho na Wala Hatutazisalimisha Silaha!"