Katika Kipindi cha Mwezi Uliobarikiwa wa Ramadhan, Wito wa Kuachiliwa Huru Naveed Butt, Mtetezi Halisi wa Khilafah, Aliyetekwa Nyara Tangu Mnamo 11 Mei 2012
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Mnamo tarehe 24 Aprili 2021, Jenerali Bajwa alikuwa na mazungumzo ya masaa saba na wanahabari, akifichua diplomasia ya mlango wa nyuma kati ya maafisa wa ujasusi wa Pakistan na India.
Siku ya Mshikamano na Kashmir ya mwaka huu, 5 Februari, inaangukia katika hali mbaya ya mambo, ambapo ni lazima tutimize wajibu wetu kwa Mwenyezi Mungu (swt).
Kukaririwa kwa amani na India na watawala wa Pakistan sasa kumefichuka kikamilifu kama utiifu wa hila kwa Amerika, kwa gharama ya maslahi muhimu ya kitaifa.
Katika mahojiano na Al-Jazeera yaliyochapishwa mnamo 21 Januari 2021, Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan, Shah Mahmood Qureshi,
Mnamo 2 Disemba 2020, ilitangazwa kuwa serikali ya Afghanistan na Taliban wamekubaliana juu ya sheria za mazungumzo.
Badala ya Kutoa tu Mkusanyiko wa Ushahidi juu ya Ugaidi wa India, Hamasisha Jeshi letu kwa Ukombozi wa Kashmir
Tangu kuwepo sheria mbaya za serikali za Musharraf-Aziz, Kayan-Zardari na Raheel-Nawaz, Amerika ililazimika kulinda nidhamu ya wakoloni nchini Pakistan isianguke.
“Itawafikia hao walio kosa udhalili na adhabu kali kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa sababu ya vitimbi walivyo kuwa wakivifanya