Enyi Maafisa wa Jeshi la Pakistan! Mutamjibu Nini Mwenyezi Mungu (swt), Pindi Mwenyezi Mungu (swt) Atakapowahisabu kwa Kutojiletea Nafsi Zenu, Vifaru Vyenu, Silaha Zenu na Makombora Yenu katika Hatua ya Mara moja, Kuutokomeza Uvamizi Halifu wa Kiyahu
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Katika kipindi cha siku mbili za maumivu, Waislamu arubaini na nne wakiwemo watoto wameuawa shahidi, huku zaidi ya mia tatu wakijeruhiwa, kutokana na mashambulizi ya kikatili ya wanajeshi wa Kiyahudi kwa Ukanda wa Gaza, Palestina, ambako hata hospitali haikusazwa.