Jumatatu, 26 Muharram 1447 | 2025/07/21
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Enyi Maafisa wa Jeshi la Pakistan! Mutamjibu Nini Mwenyezi Mungu (swt), Pindi Mwenyezi Mungu (swt) Atakapowahisabu kwa Kutojiletea Nafsi Zenu, Vifaru Vyenu, Silaha Zenu na Makombora Yenu katika Hatua ya Mara moja, Kuutokomeza Uvamizi Halifu wa Kiyahu

Katika kipindi cha siku mbili za maumivu, Waislamu arubaini na nne wakiwemo watoto wameuawa shahidi, huku zaidi ya mia tatu wakijeruhiwa, kutokana na mashambulizi ya kikatili ya wanajeshi wa Kiyahudi kwa Ukanda wa Gaza, Palestina, ambako hata hospitali haikusazwa.

Soma zaidi...

Mithili ya Demokrasia ya Kisekula, Mahakama za Kisekula ni Walinzi wa Riba, Zihakikisha Kesi ya Kutaka Kukomeshwa kwa Riba Inazungushwa Miduara. Kukomeshwa kwa Riba Kunawezekana tu chini ya Khilafah Pekee, kuanzia Siku ya Kusimamishwa Kwake

Waislamu wameghadhabishwa kwamba uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Sheria ya Majimbo wa kuondoa riba kutoka kwa uchumi wa Pakistan kwa mara nyingine tena umepingwa katika Mahakama ya Upeo, ambako kesi hiyo ilikuwa inasubiri uhakiki kwa miaka ishirini tayari.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu