Ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir Wilayah Sudan Wakutana na Sheikh Haran kwenye Msikiti wake mjini Al Qadarif
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kama sehemu ya amali wakati wa mwezi mtukufu wa Rajab, ujumbe kutoka Hizb ut Tahrir Wilayah Sudan mjini Kassala ulimtembelea Sheikh Idris Haran, Imam na khatibu wa Msikiti wa Ibrahim Musa katika Soko Kuu la Al Qadarif.