Kongamano la Kiuchumi Mjini Mersin "Masuluhisho ya Kiislamu kwa Mgogoro wa kiuchumi!"
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki iliandaa kongamano mjini Mersin ndani ya mfumo wa kampeni ya "Masuluhisho ya Kiislamu kwa Migogoro ya Kiuchumi katika Nukta 10", ambapo kulikuwa na ushiriki watu wa Mersin kwa sababu za mzozo wa sasa wa kiuchumi na suluhisho lake kuu.