Mvua ni Baraka iliyogeuzwa na Serikali za Kirasilimali Kuwa Laana
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Kwa uchache watu 15 wameuwawa kufikia sasa tangu kuanza kwa mvua kubwa kote nchini. Shirika la Msalaba Mwekundu limewashauri watu katika maeneo ya Mashariki na Kati kusongea sehemu za juu kutokana na tishio la mafuriko.