Jumatatu, 11 Dhu al-Hijjah 1445 | 2024/06/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

“Watoto kwa Pesa” ni Mfano Mwengine wa Faida za Kirasilimali Zinazothaminiwa Kuliko Maadili ya Kiutu

Mnamo 8 Julai gazeti la New York Times liliripoti juu ya mpango mpya zaidi wa kibiashara wa Raisi wa Amerika uliolenga kuyawekea kizuizi maazimio ya Umoja wa Mataifa ya kusaidia unyonyeshaji wa maziwa ya mama katika ngazi ya kimataifa, akiyataja kuwa mbinu bora zaidi ya kukuza afya ya watoto wachanga.

Soma zaidi...

Wanawake Hawawezi Kuheshimiwa Chini ya Nidhamu ya Kijambazi ya Kidemokrasia

Vyombo vya habari nchini Kenya vimeangazia habari kuhusu madhila wanayo fanyiwa wanawake (kina mama) katika Hospitali ya Kitaifa ya Kenyatta (KNH) waliokwenda kutafuta huduma za uzazi katika taasisi hiyo kwamba wanadhulumiwa, kubakwa na kufanyiwa vitendo vyengine visivyo semeka na wahudumu wa hospitali hiyo.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu