Jumamosi, 21 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/13
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Vipi Khilafah Itakabiliana na Ufisadi wa Kisiasa

Hivyo basi, endapo Mwenyezi Mungu atafanya yale ambayo washirikina hawa wanayataka na kusimamia mambo kwa mujibu wa matakwa na matamanio yao na kuachana na haki wanayoichukia, mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake vingefisidika; hii ni kwa sababu hawajui matokeo ya vitu na wema na ufisadi wa usimamizi (tafsiri ya Tabari).  

Vipi Khilafah Itazuia Dhuluma za Kisiasa?

Demokrasia, uhuru wa rai na haki ya kumchagua na kumhisabu mtawala, ni miito inayo pigiwa debe chini ya serikali za kibinadamu zilizoko leo duniani, lakini, urongo wa miito hii hudhihirika pindi mtu binafsi au kikundi cha watu kinapozikashifu serikali hizi na ufisadi wao, au kinapodai haki ambayo wameipoteza au majukumu ambayo serikali hizi zimefeli kutimiza kwa watu wake.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu