Jumatatu, 23 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/15
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Baada ya Majanga na Damu ... Mkataba wa Riyadh kati ya Hadi na Baraza la Mpito, Uko wapi Uislamu na Vipengee vyake?!?!

Mnamo Jumanne, 05/11/2019, Saleh Al-Khanbashi, akimuwakilisha Hadi, na Nasser Al-Kubaii, akiwakilisha serikali ya mpito, walisaini Mkataba wa Riyadh kumaliza mapigano kati ya vikosi vyao tangu tarehe 2/08/2019. Mkataba huo ni pamoja na kuunda serikali isiyozidi mawaziri 24 na wawe sawa kati ya majimbo ya kaskazini na kusini, na uteuzi wa Hadi wa magavana katika majimbo ya kusini.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu