Madeni ya Riba Yanayotolewa Kwetu na Dola za Wakoloni na Vyombo vyao Huhakikisha tu Uchumi Wetu Unazama Katika Madeni, Sio Maendeleo
- Imepeperushwa katika Pakistan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Mnamo tarehe 9 Januari 2022, Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa, wakati wa mkutano na Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Wang Yi huko Colombo, aliomba kupunguzwa kwa ulipaji wa deni kwa China.