Dola ya Kiislamu: Suluhisho kwa Ukandamizaji wa ‘Waliowachache’
- Imepeperushwa katika Khilafah
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Katika vyuo vikuu, wanafunzi wanashajiishwa kufuata fikra za kiliberali. Wanaambiwa kuwa hiyo ndio njia pekee ya wao kuwa ni wasiopendelea upande wowote na ‘kuwakubali’ wote walio wachache.