Mashirika ya Misaada ya Kibinadamu Hatimaye Yalazimika Kujifinika Barakoa Zao Mbele ya Wanawake na Wasichana wa Kiislamu wa Afghanistan
- Imepeperushwa katika Siasa
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
Afisi ya Umoja wa Mataifa ya kuratibu masuala ya kibinadamu (OCHA) mnamo siku ya Alhamisi, tarehe 10 Januari 2022, iliibua wasiwasi kuhusu hali ya wanawake na wasichana nchini Afghanistan