Jumatano, 25 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/17
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Enyi Waislamu! Zuieni Mateso ya Serikali kwa wale Wanaolingania Kuregeshwa kwa Utawala wa Haki na Uadilifu - Khilafah

Hizb ut Tahrir ina kazi ya kuregesha mfumo kamili wa maisha wa Kiislamu kwa kuzikomboa nchi za Kiislamu, ikiwemo Bangladesh, kutoka katika makucha ya Wakoloni makafiri na kusimamisha tena Khilafah Rashida; na Wakoloni wa makafiri wanajaribu kuzuia kurudi kwa Khilafah kupitia vibaraka wao - watawala masekula wa Waislamu.

Taliban Waliwasili jijini Moscow kama Wafanyibiashara badala ya Kufikisha Risala kutoka kwa Mwenyezi Mungu!

Mnamo Agosti 15, shirika la habari la Kormesant.ru liliripoti: "Taliban" (harakati inayotambuliwa kama ya kigaidi na iliyopigwa marufuku katika Shirikisho la Urusi) inakusudia kuanzisha biashara ubadilishanaji na Urusi. Waziri wa Viwanda na Biashara wa Imarati ya Kiislamu ya Afghanistan, Nuriddin Azizi, alisema hayo wakati wa ziara yake ya kikazi jijini Moscow.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu