Jumatatu, 23 Rabi' al-awwal 1447 | 2025/09/15
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu
kesho kutwa

kesho kutwa

Msafara wa Uthabiti kati ya Khiyana ya Utawala wa Misri na Wajibu wa Jeshi lake kuchukua Hatua

Huku kukiwa na mikutano tasa na makongamano ya uhadaifu, msafara maarufu unaojiita "Msafara wa Uthabiti" ulitoka Tunisia, Algeria, na Morocco, kuelekea Gaza kupitia Libya na Misri, kwa lengo la kuvunja mzingiro na kusaidia watu wa Ukanda wa Gaza, ambao wamekuwa chini ya vikwazo kwa zaidi ya miezi kumi na nane. Msafara huo uliwabeba wanaume na wanawake wa rika zote, waliounganishwa kwa lengo moja: kuvunja mzingiro huu uliowekwa na umbile la Kiyahudi kwa watu wa Gaza, kwa ushirika na ushiriki wa moja kwa moja wa tawala zilizo jirani, hasa unaoshikilia bendera kati yao utawala wa Misri.

Serikali ya Hindutva ya India Inaendelea Kutumia Shirika la Kitaifa la Uchunguzi kwa Kazi yake Chafu

Mnamo tarehe 14 Juni 2025, Shirika  la Kitaifa la Uchunguzi (NIA) lilifanya uvamizi ulioratibiwa katika maeneo matatu huko Bhopal, Madhya Pradesh, na miwili huko Jhalawar, Rajasthan, kuhusiana na kesi ya Hizb ut Tahrir (HuT). Operesheni hiyo ililenga kukusanya ushahidi zaidi dhidi ya HuT. NIA ilidai kuwa uvamizi huu ulisababisha kukamatwa kwa "vifaa vya kidijitali na nyenzo za hatia" (vitabu na vifaa vya kuandikia tunavyodhania). Kabla ya uvamizi huu, Jharkhand (jimbo) ATS ilikuwa imewaweka kizuizini watu wawili kuhusiana na kesi ya Hizb ut Tahrir. Serikali ya India ilipiga marufuku kinyume cha sheria Hizb ut Tahrir mnamo tarehe 10 Oktoba 2024, ikitaja juhudi zake za kusimamisha "Khilafah" ya kimataifa kupitia ugaidi na itikadi kali.

Jiunge kwa hii RSS feed

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu