Ikiwa Ulimwengu wa Kimagharibi una Mistari Mekundu, Uislamu Pia Unayo!
- Imepeperushwa katika Habari na Maoni
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Wajumbe wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UNSC) wakiashiria shambulizi la hivi karibuni dhidi ya Msikiti wa Gazargah wa mkoa wa Herat wameeleza kuwa, ‘Ugaidi’ bado ungali ni moja ya vitisho vikubwa kwa amani na ustawi wa kimataifa, na kuhimiza ulazima wa kupambana nao.