Hizb ut Tahrir / Wilayah Uturuki Halaqa ya Mjadala Mjini Tatvan Kutafuta Suluhisho la Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi
- Imepeperushwa katika Uturuki
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Ndani ya wigo wa msururu wa makongamano, semina na halaqa zilizoandaliwa na Hizb ut-Tahrir / Wilayah Uturuki chini ya kichwa "Suluhisho la Kiislamu kwa Mgogoro wa Kiuchumi", na sanjari na mnasaba wa kumbukumbuka ya miaka 101 Hijria ya kuvunjwa Dola ya Khilafah mnamo tarehe 28 Rajab Muharram 1342 H, Hizb ilikutana na wawakilishi wa vyama vya kisiasa, mashirika yasiyo ya kiserikali, wawakilishi wa vyombo vya habari vya ndani na walezi mjini Tatvan katika mkoa wa Bitlis.