Jumapili, 24 Dhu al-Hijjah 1445 | 2024/06/30
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Uholanzi: Muhadhara kwa kichwa, “Mabadiliko ya Tabia Nchi na Mtazamo wa Uislamu”

Muhadhara ulifanywa na Hizb ut Tahrir / Uholanzi siku ya Jumapili ya 1 Machi, 2020 M kwa kichwa, “Mabadiliko ya Tabia Nchi na Mtazamo wa Uislamu” kwa sababu za Mabadiliko ya tabia nchi tunayo shuhudia na uhalisia wa sasa wa namna ambavyo Magharibi imeleta athari mbaya katika mabadiliko ya tabia nchi.

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir / Uholanzi Amali Zilizo Andaliwa kipindi cha Kampeni ya Kulimwengu, “Ukombozi wa Konstantinopoli Bishara Njema Ikatimia …Inafuatiwa na Bishara Njema Nyingine!”

Kwa muongozo wa Amiri wa Hizb ut Tahrir, Mwanachuoni Mkubwa, Ata Bin Khalil Abu Al-Rashtah, Mwenyezi Mungu amlinde, Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir ili zindua kampeni pana ya kiulimwengu kuadhimisha tukio Adhimu la Hvijria la Ukombozi wa Konstantinopoli (mji wa Heraclius) ambao ulizungukwa kuanzia mnamo 26 Rabii’ al-Awwal mpaka 20 Jumada al-Awwal 857 H sawia na 5 Aprili mpaka 29 Mei 1453 M na hivyo bishara njema ya Hadith tukufu ya Nabii (saw) ikatimia:

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu