Jumamosi, 23 Sha'aban 1446 | 2025/02/22
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Kongamano la Khilafah: “Mabadiliko katika Ardhi ya Ash-Sham... Wasiwasi na Bishara Njema!”

Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya miaka 104 Hijria ya kuvunjwa dola ya Kiislamu (Khilafah) mnamo tarehe 28 Rajab Tukufu mwaka 1342 H sawa na 03/03/1924 M mikononi mwa wahalifu wa Kiarabu na Kituruki, na kwa kuzingatia mabadiliko na mishtuko mikali inayotokea ndani na karibu na ardhi ya Ash-Sham, Hizb ut Tahrir/Wilayah Lebanon inaandaa kongamano lenye kichwa:

“Mabadiliko katika Ardhi ya Ash-Sham... Wasiwasi na Bishara Njema!”

Hii itakuwa saa 15:15 adhuhuri kwa saa za Beirut (saa 16:15 alasiri kwa saa za Madina) katika ukumbi wa maonyesho katika jengo la Jumuiya ya Utamaduni mjini Tripoli, Lebanon.

Ijumaa, 01 Shaaban 1446 H sawia na 31 Januari 2025 M

- Ripoti ya Habari kuhusu Amali ya Kongamano la kila Mwaka la Khilafah -

- Video Kamili ya Amali ya Kongamano la kila Mwaka la Khilafah -

https://alwaqiyah.htcmo.info/LebConf_31012025SD.mp4

- Video za Amali ya Kongamano la kila Mwaka la Khilafah -

Kalima ya Ufunguzi wa Kongamano

Mabadiliko katika Biladi Ash-Sham ... Wasiwasi na Bishara Njema!”

Na Dkt. Muhammad Jaber / Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir

Matukio ya Ash-Sham na Mkabala wa Kusimamisha Khilafah

Na Mhandisi Salah Eddine Adada / Mkurugenzi wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Kuangukwa kwa Dhalimu wa Ash-Sham basi Simamisheni juu ya Magofu yake Dola ya Kiislamu

Na Ustadh Nasser Sheikh Abdulhay / Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Syria

[Video Fupi]

Kuanzia Kimbunga cha Al-Aqsa hadi Kuanguka kwa Dhalimu

Hakuna Tamkini katika Ardhi pasi na Tamkini katika Dini

Na Ustadh Ahmad Al-Qasas / Mwanachama wa Afisi Kuu ya Habari ya Hizb ut Tahrir

Umma Shahidi

Na Ustadh Abdullah Imamoglu / Mkuu wa Kamati Kuu ya Mawasiliano ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Uturuki

[Video Fupi]

Mabadiliko katika Biladi Ash-Sham ... Wasiwasi na Bishara Njema!”

Hivi ndivyo tulivyo katika Njia ya Utume!

Na Ustadh Ahmad Al-Sufi (Abu Nizar) / Mwanachama wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon

Taarifa ya Mwisho ya Kongamano hilo

Mabadiliko katika Biladi Ash-Sham ... Wasiwasi na Bishara Njema!”

Na Sheikh Dkt. Muhammad Ibrahim / Mkuu wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir katika Wilayah Lebanon

- Sehemu za Wakati -

?Tripoli, Lebanon

? Ukumbi wa Jumuiya ya Utamaduni

? Ijumaa ya kwanza ya Shabaan 1446 H sawia na 31/01/2025

? Saa 3:15 Alasiri baada ya Swala ya Alasiri (16:15 Saa za Madina)

- Video za Ualishi wa Kongamano -

- Video ya Kwanza -

- Video ya Pili -

- Alama Ishara za Kampeni na Kongamano la Kila Mwaka - 

#أقيموا_الخلافة

#ReturnTheKhilafah

#YenidenHilafet

#خلافت_کو_قائم_کرو

#TurudisheniKhilafah

Kwa Mengi Zaidi Tafadhali Zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon:

Akaunti Rasmi ya X Ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Akaunti Rasmi ya Facebook ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Akaunti Rasmi ya Instagram ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Lebanon

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu