Ijumaa, 19 Ramadan 1445 | 2024/03/29
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

بسم الله الرحمن الرحيم

 Kenya: Muhadhara kwa Anwani "Mazazi ya Mtume (saw) ni Mazazi ya Umma na Hadhara iliyo Badilisha Ulimwengu"

Hizb ut Tahrir / Kenya iliandaa muhadhara kwa mnasaba wa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mtume (saw), wenye kichwa:

"Mazazi ya Mtume (saw) ni Mazazi ya Umma na Hadhara iliyo Badilisha Ulimwengu"

Wahadhiri walikuwa:

Ustadh Shaaban Mwalimu

Mwakilishi kwa Vyombo vya Habari wa Hizb ut Tahrir Kenya

Ali Omar Al-Beity

Mwanachama wa Afisi ya Habari ya Hizb ut Tahrir Kenya

Alhamisi, 21 Rabi' ul-Awwal 1443 H sawia na 28 Oktoba 2021 M

Kwa Maelezo zaidi zuru Mitandao ya Hizb ut Tahrir Kenya:

Tovuti Rasmi ya Hizb ut Tahrir / Kenya

Ukurasa wa Facebook wa Hizb ut Tahrir / Kenya

Ukurasa wa Twitter wa Hizb ut Tahrir / Kenya

Chaneli ya YouTube ya Hizb ut Tahrir / Kenya

 

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

rudi juu

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu