Jumamosi, 12 Rabi' al-thani 1447 | 2025/10/04
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan: Kampeni ya Twitter “Msikiti wa Al-Aqsa unayaita Majeshi ya Pakistan

Hizb ut Tahrir / Wilayah Pakistan inaandaa kampeni kubwa kwenye mitandao ya kijamii yenye kichwa "Msikiti wa Al-Aqsa unayaita Manajeshi ya Pakistan!" ili kusisitiza ukweli wa kisheria kuhusiana na kadhia ya Ardhi Iliyobarikiwa (Palestina) kwamba ni ardhi ya Kiislamu inayokaliwa kwa mabavu na Mayahudi makafiri

Soma zaidi...

Hizb ut Tahrir/ Uholanzi: Semina Serikali Zinahusika na Siasa za Kupinga Uislamu, Mashambulizi dhidi ya Quran

Hivi karibuni, mashambulizi dhidi ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu Mtukufu yamefanywa upya katika nchi nyingi za Ulaya, ikiwemo Uswidi, ambapo mtu muovu mwenye chuki iliichoma moto nakala ya Qur'an Tukufu mbele ya ubalozi wa Uturuki jijini Stockholm, na kisha mtu mmoja mwanachama wa Harakati dhidi ya Kiislamu ya Pegida iliichana nakala ya Qur’an nchini Uholanzi

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu