Mauaji ya Ariha ni Moja ya Msururu wa Vipindi vya Kuwanyenyekesha Watu wa Ash-Sham
- Imepeperushwa katika Syria
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Leo, Jumatano, tarehe 20/10/2021, raia wasiopungua 10 wameuawa na wengine zaidi ya 30 kujeruhiwa, wakiwemo watoto, kutokana na mashambulizi ya mizinga yaliyofanywa na dhalimu wa Ash-Sham kwenye mji wa Ariha viungani mwa Idlib, iliyoko ndani ya eneo la upunguzaji kasi ya vita kaskazini mwa nchi.