Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Utawala wa Uturuki Unaendelea Kutekeleza Jukumu lake Kikamilifu Kuyarudisha Tena Mapinduzi ya Ash-Sham katika Safu ya Utawala wa Kihalifu

Waziri wa Ulinzi wa Uturuki Hulusi Akar alitangaza kuwa nchi yake itachukua hatua zote dhidi ya wale ambao hawatekelezi usitishaji mashambulizi huko Idlib, pamoja na wenye misimamo mikali, akisisitiza kuwa Ankara "itawalazimisha wao kutekeleza."

Soma zaidi...

Miezi Sita Imepita, Na Wabebaji Ulinganizi na Watu Maarufu wa maeneo yaliyokombolewa Bado wako katika Magereza ya al-Julani

Ni muhimu kutambua kuwa matendo haya ya kukandamiza sio maalumu kwa kikundi cha HTS (Hay'at Tahrir al-Sham, “Shirika la Ukombozi wa Al-Sham”), lakini badala yake ni vitendo jumla vya vikundi vingi vinahusiana na ujasusi wa dola; kwa idadi tofauti ya ukandamizaji na uhalifu.

Soma zaidi...

Kuwapokonya Ummah Utawala wao, Kuwakandamiza na Kushambulia Matukufu yao ni Moja katika Uhalifu Mkubwa dhidi ya Uislamu na Waislamu

Tawala za ukandamizaji na udhalimu hususan utawala wa kihalifu na ukandamizaji wa Ash-Sham, umekuwa ukiwapokonya Ummah maamuzi yao, ukiyakosea heshima matukufu yao, na kuwafuatilia kinyama kupitia taasisi za ujasusi ili kuwatia hofu kiasi kwamba watu wameshindwa mpaka kuzungumza na ndugu zao kuhusu masuala ya ummah.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu