Jumapili, 24 Sha'aban 1446 | 2025/02/23
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Afisi ya Habari
Wilayah Sudan

H.  12 Sha'aban 1446 Na: HTS 1446 / 48
M.  Jumanne, 11 Februari 2025

 Mwaliko wa Kuhudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari
(Imetafsiriwa)

Kwa wanahabari wetu waheshimiwa na vyombo vya habari, katika aina zake zote, magazeti, redio na televisheni:

Sisi katika Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan tunafuraha kukualikeni kuhudhuria mkutano na waandishi wa habari wenye kichwa:

Usomaji wa Awali wa Hotuba ya Al-Burhan

Mkutano huo utakuwa na hotuba ya msemaji rasmi wa Hizb ut Tahrir katika Wilayah Sudan, Ustadh Ibrahim Othman (Abu Khalil).

Tarehe: Jumamosi, 16 Sha’aban 1446 H, sawia na tarehe 15 Februari 2025 M, saa 13:00 adhuhuri, Inshallah.

Mahali: Afisi ya Hizb ut Tahrir / Wilayah Sudan mjini Port Sudan – Hai al 'Azama – Mashariki mwa Uwanja.

Kuhudhuria na kushiriki kwenu ni heshima kwetu.

Ibrahim Othman (Abu Khalil)
Msemaji Rasmi wa Hizb ut Tahrir
katika Wilayah Sudan

Hizb-ut Tahrir: Afisi ya Habari
Wilayah Sudan
Address & Website
Tel: 0912240143- 0912377707
http://www.hizb-sudan.org/
E-Mail: Spokman_sd@dbzmail.com

Andika maoni

Hakikisha umejaza (*) habari zinazohitajika palipoashiriwa. Kodi za HTML haziruhusiwi.

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu