Serikali ya Mpito Yafutilia Mbali Hukmu ya Kuritadi ili Kuthibitisha Kujiondoa Kwake katika Utiifu kwa Mwenyezi Mungu na Ikhlasi Yake katika Kuwatii Wamagharibi Makafiri
- Imepeperushwa katika Sudan
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Waziri wa Haki wa Sudan Nasruddin Abdel-Bari amefichua maelezo mapya kuhusu sheria ya mabadiliko tofauti tofauti, ambayo itachapishwa katika gazeti rasmi la serikali siku ya Jumapili 12/7/2020,