Vipaumbele vya Amerika
- Imepeperushwa katika Uchambuzi
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Uchaguzi wa uraisi wa Amerika umeonyesha mgawanyiko mkubwa nchini Amerika na kile ambacho raisi wa Amerika Donald Trump kwa muda mrefu akicheza nacho.
Uchaguzi wa uraisi wa Amerika umeonyesha mgawanyiko mkubwa nchini Amerika na kile ambacho raisi wa Amerika Donald Trump kwa muda mrefu akicheza nacho.
Ijumaa tarehe 30 Oktoba 2020,wanaharakati wa Hizb ut-Tahrir/ Kenya walifanya msururu wa maandamano baridi ya kutetea hadhi ya bwana Mtume Muhammad (Rehema na Amani za MwenyeziMungu zimshukie Yeye na Aali zake).
Wavuti wa Kiarabu ya BBC, chini ya kichwa "Unyanyasaji: siri iliyofichuliwa katika maisha ya waandishi wa habari wa kike wa Kiarabu," uliwasilisha hali tatu mbaya kwa waandishi wa habari wa kike kutoka nchi tofauti za Kiarabu, ambao walizipitia wakati wakiendelea na kazi zao.
DVD za Kampeni ya Wilayah ya Syria: “HAPANA kwa Uhalifu wa Suluhisho la Kisiasa la Kiamerika, NDIO Kuangushwa kwa Serikali na Kusimamishwa Khilafah!”
Lile linaloitwa Baraza Ulaya la Kuzuia na Kupambana na Unyanyasaji dhidi ya Wanawake na Ukatili wa Kinyumbani lilihitimisha makubaliano yanayojulikana kama "Makubaliano ya Istanbul" na kufungua mlango wa kutiwa kwake saini mnamo 11 Mei 2011 jijini Istanbul,
Hizb ut Tahrir / Wilayah Syria: Kisimamo katika Kambi ya Mji wa Qah “HAPANA kwa Uhalifu wa Suluhisho la Kisiasa la Kiamerika”
Tangu kuwepo sheria mbaya za serikali za Musharraf-Aziz, Kayan-Zardari na Raheel-Nawaz, Amerika ililazimika kulinda nidhamu ya wakoloni nchini Pakistan isianguke.
Siku siku ya Ijumaa, Rais Xi Jinping wa China, akiwa ametia saini makubaliano makubwa zaidi ya kibiashara ulimwenguni, Ushirikiano Kamili wa Kiuchumi wa Kikanda (RCEP),
Chini ya shinikizo la kampeni iliyoendeshwa na raia wema wa Tunisia dhidi ya hatua za kufunga misikiti, Wizara ya Maswala ya Kidini ilitangaza uamuzi wa kufungua misikiti Jumatatu, Novemba 23, kutekeleza swala tano za kila siku isipokuwa swala ya Ijumaa.