Alhamisi, 18 Ramadan 1445 | 2024/03/28
Saa hii ni: (M.M.T)
Menu
Main menu
Main menu

Siasa za Chuki na Migawanyiko ni Dalili Tosha ya Kufilisika Kifikra kwa Siasa ya Demokrasia na Wafuasi Wake

Hatimaye, rais Uhuru Kenyatta ameapishwa kuhudumu kwa muhula wa pili kwenye sherehe iliohudhuriwa na viongozi wa mataifa mbalimbali na kususiwa na wanasiasa wa upinzani. Hafla hii imekuja huku nchi ikighubikwa na migawanyiko ya kikabila, semi za chuki na umwagikaji wa damu.

Soma zaidi...

Wala Msiwe Katika Washirikina Katika Wale Walioitenga Dini Yao Na Wakawa Makundi Makundi Kila Kikundi Kinafurahia Kilicho Nacho

Hatua ya mahakama ya juu kuamuru marudio ya uchaguzi Oktoba 26, 2017 imezusha fukuto la kisiasa nchini. Baada ya kuubatilisha uchaguzi wa mwezi Agosti 2017, kumeshuhudiwa vuta ni kuvute juu ya usimamizi wa uchaguzi mpya baina ya mirengo miwili ya kisiasa (Jubilee na Nasa).

Soma zaidi...

Urasilimali Umezigeuza Hospitali kuwa Mapango ya Mauti!

Mgomo unaoendelea wa madaktari na wauguzi sasa unaingia wiki yake ya pili, ukiwaacha wagonjwa wasio na hatia kufariki bila ya huduma katika hospitali zote za umma. Lengo kuu nyuma ya mgomo huu, ni kuilazimisha serikali kutekeleza makubaliano ya 2013 ya kuwalipa madaktari mabaki ya malipo yao pamoja na nyongeza ya asilimia 300 kwa mishahara yao.

Soma zaidi...

Je, Sheria ya Dhidi ya Ugaidi Haikukusudiwa Kupambana na Uislamu?

Mara tu baada ya kuuwawa kwa wasichana watatu wa Kiislamu, waliokuwa wakishukiwa kushambulia Kituo cha Polisi cha Central jijini Mombasa, kama kawaida tukio hili lilidaiwa ni kupambana na misimamo mikali, licha ya hayo kiuhalisia, ni mbinu iliyo kusudiwa kuihofisha jamii ya Waislamu ndani ya majumba yao wenyewe.

Soma zaidi...

Vifungu vya Tovuti

Viunganishi

Magharibi

Ardhi za Waislamu

Ardhi za Waislamu