Hizb ut Tahrir / Kenya Imefaulu Kukamilisha Kampeni Maalum kwa Mwito – Kuzidi Kwa Gharama za Maisha: Uislamu Ndio Tiba
- Imepeperushwa katika Kenya
- Kuwa wa kwanza kutoa maoni!
- |
Jumapili, 31 Machi 2019, Hizb ut Tahrir / Kenya kwa ridhaa za Mwenyezi Mungu (swt) ili kamilisha kampeni yake kwa mwito "Kuzidi kwa Gharama za Maisha: Uislamu Ndio Tiba" ambayo ili zinduliwa rasmi Jumapili, 13 Januari 2019.